Kocha za Real Madrid Callo Ancelot ametoa mkwala kwa Bacelona na Jilani zao Atretic Madrid kuwa sasa timu yake inakuja kileleni mwaligi ya Laliga baada ya kufanikiwa kuibika na ushindi mnono wa mabao 5 kwa bila hapo jana usiku magoli yakitiwa kambani na C.Ronaldo dk 10, Gareth Bale dk 25, Karim Benze
mq dk 45 , Anger dimaria dk 62, na lile la mwisho lililo fungwa na Morata dk 90, kocha huyo mwenye mafanikio makubwa ya kushinda makombe ya ligi tatu kubwa tofauti ikiwemo Ligi ya England, Italia na Ufaransa anashika nafasi ya tatu hivi sasa akiwa nyuma ya Bacelona na A, Madrid
No comments:
Post a Comment