GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Saturday, January 18, 2014

Ancelot, Bacelona na A, Madrid mnipishe hapo juu nakuja kuchukua kilicho nitoa Ufaransa, Soma hapa kujua zaidi

 Real Madrid boss Ancelotti: My a*** is earthquake-proof  Kocha za Real Madrid Callo Ancelot ametoa mkwala kwa Bacelona na Jilani zao Atretic Madrid kuwa sasa timu yake inakuja kileleni mwaligi ya Laliga baada ya kufanikiwa kuibika na ushindi mnono wa mabao 5 kwa bila hapo jana usiku magoli yakitiwa  kambani na C.Ronaldo dk 10, Gareth Bale dk 25, Karim Benze
mq dk 45 , Anger dimaria dk 62, na lile la mwisho lililo fungwa na Morata dk 90,  kocha huyo mwenye mafanikio makubwa ya kushinda makombe ya ligi tatu kubwa tofauti ikiwemo Ligi ya England, Italia na Ufaransa anashika nafasi ya tatu hivi sasa akiwa nyuma ya Bacelona na A, Madrid

No comments:

Post a Comment