Msichana mmoja mwenye umri
wa miaka 23 ambaye alikuwa anasoma sheria katika chuo kikuu amekumbwa na mauti
baada ya kwenda kulala na mtu mmoja tajiri asiyejulikana katika hoteli.
Msichana huyo amekutana na tajiri huyo katika internet [facebook]. Kabla ya kwenda
huko, wasichana wenzie anaoishi nao chumba kimoja walimktaza kutokwenda, lakini
binti huyo alisisitiza. Asubuhi iliyofiata, msichana huyo alikutwa amekufa [pichani].
Chanzo kinadai kuwa, msichana huyo amelishwa sumu. Haya ni matokeo ya ubishi na
endapo angaliwasikiliza wenzie jambo hili lisingalimkuta.
No comments:
Post a Comment