Oneal
amekiri baada ya kutoka kwamba ni kutoka moyoni mwake, anampenda
mshiriki huyo kutoka Tanzania na ana imani kwamba baada ya kutoka ndani
ya jumba hilo, watakutana tena na kuendeleza walichokianza ndani ya
jumba.
Sunday, August 4, 2013
Dua za Watanzania zambakisha Feza Katika jumba la Bigbrother... Bonya ujue zaidi....
Homa
iliyokuwa ikiwakabili watanzania kwamba huenda muwakilishi pekee kutoka
Tanzania, Feza Kessy siku zake zimeisha kutoka kwenye jumba la Big
Brother imepata tiba usiku huu ambapo muwakilishi huyo, amebaki bali
mpenzi wake Oneal kutoka Botswana, ndio ametoka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment