GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Wednesday, August 14, 2013

Diddy amuwashia Moto kendrick Lamar kwa vitisho vikali,...Bonya hapa kujua zaidi

Mashambulizi dhidi ya Kendrick Lamar yazidi kuongezeka, hasa pale Diddy alipomuwashia moto kupitia Instagram, nakuthubutu kumuingiza Jay Z kwenye mashambulizi hayo.
Lamar amejikuta katika mashambulizi kutoka kwa Rappers mbali mbali ndani ya masaa 34 baada ya kuvuja kwa ngoma ya Big Sean "Control" ambapo ndani yake kuna mistari yake iliyokuwa ikiwaponda ma-rapper hao na kudai kuwa yeye ni King wa New York.
Diddy ameamua kumshambulia kwa kutumia picha yake akiwa na Jay Z (Mabosi wengine wa NY) wakicheka huku akiambatanisha na maneno yanayomkejeli Kendrick Lamar
"Nakisha Kendrick akasema "mimi ni King wa NewYork"
Diddy sio wa kwanza kumrudishia mashambuliz Lamar, NBA Legend mwenye miaka 67 Phil Jackson aliachia maneno kupitia ukurasa wake wa twitter baada ya Lamar kumtaja kwenye mashairi hayo

No comments:

Post a Comment