Kocha wa Chelsea Jose Felix dos santos Morinho ameweka mkazo kuwa mchezaji anaye mtaka ni Wayne Rooney na sio mwingine na atakuwa tayari kutoa kiasi cha paun milion 10 pamoja na wacheza wawili Joan Matta na David Luwiz kwenda Manchesta
Hata hivyo Chelsea imezikanusha taarifa kuwa Ilikuwa Tayari kuwatoa
mmojawapo kati ya David Luiz na Joan Matta kama sehemu ya dili la
kumnunua Rooney. Mustakabali wa Rooney unaonekana kuwa story ya “Msimu
huu wa usajili” baada ya kuwepo na kauli tata juu ya maisha ya mchezaji
huyo ndani ya klabu ya ya Manchester United .
No comments:
Post a Comment