Msanii Mkongwe wa mziki Tanzania Lady Jaydee amezidi
kuonyesha uwezo binafsi wa Kuandika mashairi yenye uzito mkubwa na kushirikiana
na Wasanii wakongwe afrika baada ya kutambulisha Nyimbo yake inayo fuata
akishirikiana mkongwe Q.Chilah na badaye itafata nyimbo yake aliyofanya na
mkongwe Juma Nature,
Hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutoa nyimbo mbili kali
za joto hasira na Yahaya, tunazo weza kuziita ni Nyimbo za taifa ambazo
zinafanya vizuri katika media tofauti hapa Afrika pamoja na ile aliyoimba na Kidumu
kutoka Burundi.
No comments:
Post a Comment