kocha huyo amepata nafasi hiyo baada ya kuwapiku makocha walio tajwa hapo mwanzo kuwania nafasi ya kuifundisha Barcelona , makocha hao ambao walitajwa mwanzo ni Luis Enrique, Andre Villas-Boas, Marcelo Bielsa,
Michael Laudrup na Guus Hiddink, ambaye jana alibwaga manyanga kuifundisha Anzhi
Makhachkala kuutokana na kupewa azabu na shirikisho la soka nchini Urusi.
No comments:
Post a Comment