GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Wednesday, July 17, 2013

KWA HILI TFF MMECHEMSHA TAFUTENI UTATUZI MAPEMA.





                                             Basil akishangilia moja ya magoli yake
Mchezo wa Soka ni mchezo  wenye mashabiki wengi ulimwenguni napia nimoja ya michezo mikubwa inayo ongeza kipato cha nchi, hivyo kuna kira sababu ya kusema mchezo wa soka ni ajira kwa vijana wenye kipaji cha kusakata mpira wa miguu.
Kwasiku nyingi kumekuwa na changamoto katika mchezo huo ambazo zimepelekea kuwakatisha tamaa vijana ambao wanakuwa na ndoto za kucheza soka hapa nchini
Naleo tunae mchezaji chipukizi kutoka mjini Morogoro ambae aliitumikia timu ya Taifa chini ya umri wa mika 17 ya Tanzania, angalia intaviw yake fupi utajua TFF wana mpango gain na Soka la Bongo.

jina;           Basil Abdul Seif.
umri;           18
kuzaliwa;    29/12!1996
mahali;        Morogoro
urefu;           5.43
timu;            polisi moro.
BASILI.......sauzi tulicheza kombe la ligi,. kulikua na timu 8 ambazo ni; Uganda,zambia,kenya,malawai,nigeria,na Tanzania. mechi ya kwanza tulifungwa na kenya 3-2,. ya pili tulicheza na nigeria na droo ya 1-1,. mechi ya tatu na Uganda tulichinda 2-0 magoli nikishinda mi mwenyew,. mechi ya nne tulicheza na kisiwa cha seto, tulishinda 2-0,goli moja nilishinda mimi. ya tano tulicheza na malawai pia tulishinda 3-1,. magoli mawili tena nilifunga mi mwenyew,. ya sita tulicheza na somalia tukatoa sare ya 2-2,. goli moja nilishinda mimi,. nkawa mfungaji bora souz afrika chini ya kocha silvesta marsh kwa jumla ya goli 6.
mechi ya mwisho tulifungwa na zambia 1-0,. ndoto zangu ni kuchezea chelsea,kwa tanzania naipenda sana Azam fc.

JONS......Kunamchezaji yoyote mliyekuwa nae tm moja ya Tz au mchezaji yoyote kutoka nje ya tz ambaye ametoka kimpira kwenda ulaya ? na mchezaj agan unamhusudu sana ?
BASILI......wapo kama wanne ivi ila majina yao siyajui,. mchezaji mkali wangu ni javier hernandes { chicharito} na kuhusu kwa sasa nipo tu nyumbani kwani baada ya kuvunjwa kwa kambi ya timu ya taifa kwa chini ya umri 17 sijawahi kupata ushirikiano kutoka TFF hata Serikalini bahati nzuri akaja mtu tofauti kabisa akanipeleka polisi Moro nayo iliposhuka dalaja ikavunja mkataba na mimi na sasa nipo nyumbani tu nafanya mazoezi mwenyewe
ila naomba Serikali ituangalie kwa jicho la tatu wachezaji vijana tunao sahaulika baada ya kuitumikia timu ya Taifa na umri ukipita tunatupwa,

No comments:

Post a Comment