GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Wednesday, July 24, 2013

Dogo Janja awafunga Mdomo wanao Mtakia mabaya katika kazi zake...soma hapa



 

Msaanii wa mziki miondoko ya Bongo frava  Dogo Janja, amefunguka juu ya maneno yaliyo sikika kwa muda mrefu kuwa hana mpango na shule tena baada ya kushindwa kufauru mitihani yake ya kidato cha pili kuelekea kidato cha tatu katika shule aliyokuwa anasoma mwanzo ya Makongo,

Dogo Janja amefunguka kuwa sasa yupo shule anapiga kitabu katika shule ya Mbezi beach iliyopo Jijini Dar es salaam na kamwe hawezi kuacha shule kama wanavyosema watu wasiojua maisha yake yanaenda vipi,
Kuhusu sanaa hakuacha kuzungumzia na kuwaahidi mashabiki wake wakae mkao wa kusikiliza mziki mzuri ambapo anatarajia kutoa nyimbo wiki ijayo itakayo sikika kwa jina la Tuserebuke aliyo washirikisha  Mamong’oo kutoka Jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment