GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Wednesday, August 28, 2013

SAM WA UKWELI vs COUNTRY BOY ndani ya ROYAl BASH WAITIKISA DAR ES SALAM,,WAKALI KIBAO KUSHAMBULIA JUKWAA WEEKEND HII, Bonya hapa kujua zaidi




                                                              
Ule mpango wa kuendeleza kula bata na wala bata ndani ya Jiji la Dar es salaam utafikia kikomo jumamosi hii ndani ya ukumbi wa Mombasa uliopo Sinza oppositte na Hotel ya lion, ambako wale watoto wazuri wa Vyuo vyote Dar es salaam watakutana na ma Braza kaka wa ukweli kuruka kwanja za ukweli kutoka kwa ma Dj wakali Tanzania na kushuhudia nan mkali stajini kati ya Country Boy , Kacci , Sam wa ukweli  pamoja na Vijana wakali wa michano hivi sasa na wazungumzia The Run entertainment. wakisindikizwa na Vipaji lukuki kutoka katika vyuo tofauti Tanzania kwa kiingilio cha bei ndogo tu ya sh.5000, kwanzia kumi jioni hadi jogoo awike asipo wika mzigo utaendelea huku watu kumi wa kwanza kuingia ukumbini watapata bia  mbili kwakila mmoja kutoka kwa Jonstwice......Mzigo huu mzima umesimamiwa na ROYAL COLLEGE OF TANZANIA

No comments:

Post a Comment