GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Thursday, August 8, 2013

Rooney pua na Mdomo kutua Chelsea baada ya kushushwa kikosi cha pili,.. Soma hapa kujua zaidi

Wayne Rooney jitihada zake za kutaka kuihama Manchester United zinakaribia kutimia - baada ya kumriwa kufanya mazoezi na kikosi cha pili cha klabu hiyo na meneja David Moyes siku ya Alhamisi kufuatia mkutano kati ya klabu na ajenti wa Rooney bwana Paul Stretford.

Stretford alipomaliza kikao na Moyes katika uwanja wa mazoezi wa Carrington mapema Alhamisi - Rooney alipewa taarifa kwamba atakapofika mazoezini jioni basi atakua na timu ya kikosi cha pili

No comments:

Post a Comment