GENERATION OF LOVE UNIT

GENERATION OF LOVE UNIT
GENERATION OF LOVE@2013

Friday, July 26, 2013

CARLO ANCELOTTI...Ampeleka Suarez Arsenal,, C.Ronaldo, Benzema wanamtosha Madrid.....bonya usome hapa

Luis-Suarez-Arsenal-Jersey
Winga hatari katika ulimwengu wa soka kwa sasa C.Ronaldo na Mshambuliaji kutoka nchini ufaransa Karim Benzema wamempa kiburi Carlo Ancelotti katika timu yake nakusema hana mpango na Suarez kwani wachezaji alio nao wanamtosha katika kikosi chake nahana mpango wa kutafuta mshambuliaji mwingine atakaye cheza ndani ya kikosi cha Madrid  
Chanzo cha habari kutoka Madrid kimeripoti kuwa kocha mpya wa Bernabeu amekataa kumsajiri mshambuliaji yeyote baada ya kumuuza Gonzalo Higuain kwenda Napoli ila bado anawaamini Cristiano Ronaldo na Karim Benzema kitendo hiko kinaweza kuwa ni tiketi kwa Arsenal kupata saini kirahisi ya mchezaji huyo inayomtaka kwa hudi na uvumba.

No comments:

Post a Comment