
Akizungumza na Jonsttwice kwanjia ya simu akiwa njiani kuelekea Morogoro kutoka Dar Belle amesema ananyimbo nyingi sana katika kichwani kwake ambazo amepanga kuzitoa mwezi wa nane ila hajajua ni ipi ianze kati ya hizo akadokeza kwa kifupi inawezekana akaanza na VITAMINI MUSIC ila mashabiki wake wakae mkao wa kumjua kiundani Belle 9 katika Mziki wa RNB.
No comments:
Post a Comment