Mwanamke mpiganiaji wa haki za wanawake na jamii nzima kwa ujumla Joyce Kilia amesema waliokuwa wakimsema kaolewa na Jambazi wakae kimya sasa baada ya kufutwa kwa kesi iliyo kuwa ikimkabili Mumewe na kusema nimepitia mengi sana hapa Duniani ila sasa yupo tayali kupigania haki za watu akiwa kama Mbunge na kuwataka wananchi kuwa tayari kumpokea katika Siasa na kuahidi atahitaji Jimbo 2015.
No comments:
Post a Comment